3. Tukifanya mambo kwa mujibu wa Torati, je, inaweza kutuokoa? (Luka 10:25-30)
Échec de l'ajout au panier.
Veuillez réessayer plus tard
Échec de l'ajout à la liste d'envies.
Veuillez réessayer plus tard
Échec de la suppression de la liste d’envies.
Veuillez réessayer plus tard
Échec du suivi du balado
Ne plus suivre le balado a échoué
-
Narrateur(s):
-
Auteur(s):
À propos de cet audio
Luka 10:28, “Fanya hivyo nawe utaishi.”
Watu wanaishi wakiwa na udanganyifu mwingi. Inaonekana kwamba ni dhaifu hasa katika jambo hili. Wanaonekana kuwa werevu lakini hudanganywa kirahisi na hubaki wasiotambua upande wao wa uovu. Tumezaliwa bila kujijua, lakini bado tunaishi kana kwamba tunajijua. Kwa sababu watu hawajijui, Biblia hutuambia kwamba sisi ni wenye dhambi.
Watu huzungumza juu ya kuwapo kwa dhambi zao wenyewe. Nao hawawezi kutenda mema, lakini hujipendelea kujieleza kuwa wema. Wanataka kujisifu kwa matendo yao mema na kujionyesha. Husema kwamba wao ni wenye dhambi, lakini hutenda kana kwamba ni wema sana.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Pas encore de commentaire