6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)
Échec de l'ajout au panier.
Veuillez réessayer plus tard
Échec de l'ajout à la liste d'envies.
Veuillez réessayer plus tard
Échec de la suppression de la liste d’envies.
Veuillez réessayer plus tard
Échec du suivi du balado
Ne plus suivre le balado a échoué
-
Narrateur(s):
-
Auteur(s):
À propos de cet audio
Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa ubatizo wa ukombozi ambao kupitia huo aliondoa dhambi zote za ulimwengu.
Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo, alikuja. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na akabatizwa ili kuondoa dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kumwaga damu juu ya msalaba. Yesu alikuja kwa damu.
Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo, alikuja. Yesu alikuwa Mungu(God), lakini Yeye alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Pas encore de commentaire