Page de couverture de SURA YA 2-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 2

SURA YA 2-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 2

SURA YA 2-1. Utangulizi katika Kitabu cha Warumi Sura ya 2

Écouter gratuitement

Voir les détails du balado

À propos de cet audio

Katika ulimwengu huu yapo makundi mawili, Wayahudi na Wakristo wamwaminio Mungu na kati ya watu hawa wapo wale wenye kumwamini Yesu na wale wasio mwamini Mungu huchulia imani ya wale wasio mwamini Yesu kuwa ni bure isiyofaa. Hata hivyo, tatizo kubwa linalowakabili Wakristo ni hili la kumwamini Yesu kwa njia yoyote huku wangali bado hawaja samehewa dhambi zao. Mtume Paulo alizungumzia hili katika Warumi Sura ya 2 si kwa Wayahudi na Wayunani pekee bali hata kwa Wakristo wa nyakati hizi.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Pas encore de commentaire