
SURA YA 5-3. Kuishi Kwa Matakwa Ya Roho Mtakatifui (Wagalatia 5:7-26)
Échec de l'ajout au panier.
Veuillez réessayer plus tard
Échec de l'ajout à la liste d'envies.
Veuillez réessayer plus tard
Échec de la suppression de la liste d’envies.
Veuillez réessayer plus tard
Échec du suivi du balado
Ne plus suivre le balado a échoué
-
Narrateur(s):
-
Auteur(s):
À propos de cet audio
Kuna wakristo wengi wakati huu ambao bado hawajasamehewa dhambi zao, kwa kuwa hawajapokea injili ya ondoleo la dhambi ambayo imekuja na injili ya maji na Roho, na wanabaki wakikamatwa na mafundisho wakristo wa uwongo.Kwa hivyo, kupitia Kitabu hiki cha Wagalatia, napenda kuwaonya kwa kuwa wanakabiliwa na uharibifu wa kiroho kwa sababu ya fundisho la sala za toba ambalo wamekuwa wakifuata. Ninahisi hivyo isipokuwa nichukue fursa hii kuweka wazi jambo hili, hakutakuwa na fursa nyingine ya kusahihisha imani yao potofu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Pas encore de commentaire