Page de couverture de Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Radio Maria Tanzania

Auteur(s): Radio Maria Tanzania
Écouter gratuitement

À propos de cet audio

Radio Maria Tanzania Christianisme Pastorale et évangélisme Spiritualité
Épisodes
  • Amri 10 za Mungu zimeandikwa wapi katika Biblia Takatifu?
    Aug 11 2025

    Karibu katika kipindi cha Historia ya Kanisa, Mwezeshaji ni Mhashamu Method Kilaini , Askofu Msaidizi Mstaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba, ambapo ameendelea kujibu maswali mbalimbali yaliyoilizwa na msikilizaji. Mtangazaji ni Patrick Pascal Tibanga – Radio Mbiu

    L'articolo Amri 10 za Mungu zimeandikwa wapi katika Biblia Takatifu? proviene da Radio Maria.

    Voir plus Voir moins
    57 min
  • Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini?
    Aug 7 2025

    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, Swali linahoji hivi; Kanisa linahimiza kuwasaidia watu masikini, sasa mimi nitawezaje kuwasaidia wakati mimi mwenyewe ni masikini? Na je Matajiri hawahitaji kusaidiwa? Swali limejibiwa na Frateri Peter Peter kutoka Jimbo Kuu Katoliki Dodoma. Mtangazaji wako ni Esther Magai Hangu

    L'articolo Ninawezaje kuwasaidia masikini wakati mimi pia ni msikini? proviene da Radio Maria.

    Voir plus Voir moins
    28 min
  • Biblia inatufundisha nini katika kuvumilia na kupokea Mateso na changamoto katika maisha?
    Aug 6 2025

    Kipindi Cha Mbiu ya Heri MADA ni Matumaini katika Mateso kadiri ya maandiko Matakatifu katika Maisha ya Mkristo. Mafundisho haya yanatolewa na frateri Fransic Kulamiwa, Kutoka Seminari ya familia Takatifu Mwendakulima, yeye anatoka Jimbo Kuu Katoliki Mwanza.

    L'articolo Biblia inatufundisha nini katika kuvumilia na kupokea Mateso na changamoto katika maisha? proviene da Radio Maria.

    Voir plus Voir moins
    31 min
Pas encore de commentaire