Épisodes

  • Taarifa ya habari:Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Australia nchini Marekani
    Jan 13 2026
    **Kevin Rudd ajiuzulu kama balozi wa Marekani... **Mlipo wa bomu waua maafisa wa polisi kaskazini mwa Pakistan... **Meta yazua shauku kuhusu Australia kuongeza umri wa kutumia mitandao ya kijamii. Kwa habari ama maelezo zaidi tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili.
    Voir plus Voir moins
    9 min
  • Yaliyojiri Afrika:Uganda yajiandaa kwa uchaguzi mkuu Alhamisi
    Jan 12 2026
    Mwanahabari Jason Nyakundi anatujuza yanayoendelea Afrika. Tembelea tovuti yetu sbs.com.au/swahili kwa maelezo au habari zaidi.
    Voir plus Voir moins
    9 min
  • Makala leo:utafiti unaonyesha miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi,hali inayochangia kaboni
    Jan 12 2026
    Utafiti mpya umebaini kuwa miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi kuliko inavyokua, hali ambayo inachangia ongezeko la utoaji wa kaboni. Utafiti huo, unaoongozwa na Chuo Kikuu cha Western Sydney na kuchapishwa katika jarida la Nature Plants, umebaini kuwa miti katika aina zote za mifumo ya mazingira - kuanzia misitu ya mvua ya tropiki hadi misitu ya eucalypt - inapungua hali ya hewa inavyozidi kuwa ya joto.
    Voir plus Voir moins
    5 min
  • Makala leo:Je,uangalizi wa ndege ni jambo maarufu miongoni mwa vijana sasa hivi?
    Jan 12 2026
    Mnapofikiria kutazama ndege, labda mnawazia wastaafu. Lakini kizazi kipya kinaanza kutumia darubini na kujihusisha na burudani hii. Kile kilichokuwa kimbilio kutoka ulimwengu wa mtandaoni sasa kinafufuka tena mtandaoni.
    Voir plus Voir moins
    7 min
  • Taarifa ya habari:Tume ya kifalme yazinduliwa kuchunguza chuki dhidi ya wayahudi
    Jan 9 2026
    **WAZIRI MKUU ANTONY ALBANESE AZINDUA TUME YA KIFALME YA KUCHUNGUZA TUME YA KIFALME YA KUCHUNGUZA KESI ZA CHUKI DHIDI YA WAYAHUDI AUSTRALIA. **MAWIO YA MOTO YAWEKWA SEHEMU MBALIMBALI AUSTRALIA HUKU JOTO IKIZIDI KUONGEZEKA ** KIFO CHA MWANAMKE MAREKANI YAZUA UTATA.
    Voir plus Voir moins
    9 min
  • Yaliyojiri Afrika:kapteni Ibrahim Traore anusurika jaribio jingine la mapinduzi
    Jan 8 2026
    Kwa habari au maelezo zaidi tembelea sbs.com.au/swahili.
    Voir plus Voir moins
    9 min
  • Afya:wataalamu waonya dhidi ya madhara ya kuchanganya mipango mbalimbali ya lishe
    Jan 8 2026
    Mipango ya lishe kama vile Foodmap, yenye protini nyingi, isiyo na gluten, yenye mafuta kidogo, na kula chakula safi - kuna mipango mingi sana ya lishe, na ushauri unaokinzana. Wataalamu wa Australia wanaonya kwamba kufuata mipango mbalimbali ya lishe kwa wakati mmoja kunaweza kuwa na matokeo yasiyotarajiwa.
    Voir plus Voir moins
    9 min
  • Makala leo:wazazi wapata afueni baada ya serikali kupunguza gharama za vituo vya malezi ya watoto
    Jan 8 2026
    Wazazi wanaopeleka watoto kwenye vituo vya malezi wana uhakika wa kupata ruzuku ya asilimia 90 kwa siku tatu za wiki, bila kupitia mchakato wowote wa uthibitishaji. Ruzuku hii itagharimu karibu dola milioni 430 kwa kipindi cha miaka minne ijayo, lakini serikali inasema mamia ya maelfu ya familia zitafaidika.
    Voir plus Voir moins
    6 min
adbl_web_global_use_to_activate_DT_webcro_1694_expandible_banner_T1