
8. Injili ya Upatanisho Ulio Tele (Yohana 13:1-17)
Échec de l'ajout au panier.
Veuillez réessayer plus tard
Échec de l'ajout à la liste d'envies.
Veuillez réessayer plus tard
Échec de la suppression de la liste d’envies.
Veuillez réessayer plus tard
Échec du suivi du balado
Ne plus suivre le balado a échoué
-
Narrateur(s):
-
Auteur(s):
À propos de cet audio
Kwa nini Yesu aliosha miguu ya Petro siku moja kabla ya sikukuu ya Pasaka (Pasaka ya Wayahudi)? Alipokuwa anaosha miguu yake, Yesu alisema, “Hujui sasa, lakini utalifahamu baadaye.” Simoni Petro alikuwa bora kati ya wanafunzi wa Yesu. Alikuwa na imani kwamba Yesu alikuwa Mwana wa God na alishuhudia kwamba Yesu alikuwa Kristo. Na Yesu alipoosha miguu yake, lazima kulikuwa na sababu nzuri ya kufanya hivyo. Wakati Petro alipokiri imani yake kwamba Yesu alikuwa Kristo, ilimaanisha kwamba aliamini Yesu kuwa Mwokozi ambaye angemwokoa kutokana na dhambi zake zote.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Pas encore de commentaire